Simamia wanafunzi, ada, mitihani, mahudhurio, wafanyakazi na mawasiliano na wazazi kwenye mfumo mmoja. Ada hulipwa kwa M-Pesa na wazazi hupata SMS. Unalipia moduli unazochagua, kuanzia TZS 2,000,000 kwa mwaka.
Madeni ya ada ni magumu kuona, risiti ni za mkono na kulinganisha malipo ya M-Pesa huchukua muda.
Alama, madaraja na ripoti za wanafunzi huandaliwa kwa mkono kila muhula.
Mahudhurio, matokeo na salio la ada hufika kwa wazazi kwa kuchelewa au haifiki kabisa.
Usajili, uhamisho, kumbukumbu binafsi, historia ya masomo na nyaraka.
Miundo ya ada, malipo ya M-Pesa, risiti otomatiki, salio na vikumbusho vya madeni.
Mahudhurio ya wanafunzi na walimu, na SMS kwa wazazi.
Ratiba ya mitihani, ingizo la alama, madaraja otomatiki na uchapishaji wa matokeo.
Wasifu wa wafanyakazi, mishahara, likizo na mikataba.
Wazazi huona mahudhurio, matokeo, ada na habari za shule kwenye web na simu.
SMS za jumla, ujumbe wa wafanyakazi na tangazo la shule.
Orodha ya vitabu, ukopaji, urejeshaji na faini.
| Huduma | Bei (TZS) | Maelezo |
|---|---|---|
| School ERP, moduli chache | Karibu na TZS 2,000,000 / mwaka | Chagua moduli unazohitaji tu, ongeza baadaye. |
| School ERP, moduli zote na huduma | Karibu na TZS 7,000,000 / mwaka | Moduli nane zote, M-Pesa, SMS, NECTA na parent portal. |
| Chuo / Chuo Kikuu | Quotation maalum ya mwaka | Vitivo vingi, moduli maalum na muunganisho wa API. |
School ERP inagharimu TZS 2,000,000 hadi 7,000,000 kwa mwaka. Bei inategemea moduli na huduma unazochagua, si idadi ya wanafunzi. Quotation ya maandishi inaonyesha setup, mafunzo, SMS na hosting kwa kila kipengele.
TZS 2,000,000 hadi 7,000,000 kwa mwaka, kulingana na moduli na huduma unazochagua.
Hapana. Bei inategemea moduli na huduma unazochagua. Moduli zikiongezeka, bei inapanda ndani ya kiwango hicho.
Tunapokea bank transfer, M-Pesa na mobile money nyingine, na cash. Unaweza kulipa kwa awamu (deposit kisha salio), masharti yanakubaliwa kwenye quotation.
Tuambie mahitaji yako. Tunajibu ndani ya saa 2 za kazi. Malipo kwa bank transfer, M-Pesa au cash, kwa awamu ukipenda.
Omba Quotation WhatsApp